Habari ya kazi mkubwa wa Bongopix, Sisi hapa ni Dullonet ni wanamtandao wenzako katika ulimwengu huu wa mawasiliano.
Kutoka Dullonet tunatuma ombi letu kwako kwa kuomba kupewa links katika blog yako ili nasi tuweze kufahamikazaidi na kupata wasomaji wa Website yetu ya www.dullonet.com ambao tunajihusisha na mambo ya habari mchanganyiko na kutoka vyombo mbalimbali duniani.
Zaidi tunategemea kusikia toka kwako mwanamtandao wenzetu na pia tunatanguliza shukrani kwako kwa kuchukua muda kusoma email hii.
Dullonet Team.
BP Haina noma na hilo karibuni sana.
November 15, 2008
Msaada tutani ktk Bongo pix
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
Huwa nina kawaida au tabia ya kusoma kila kilichombele yangu kilichoandikwa, sijui kama kawaida/tabia hii ni mzuri au la kila mtu aweza sem...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
1 comment:
real cool site...wape kifua
Post a Comment