Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bi. Dorris Malulu akifurahia kuona kitenge cha batiki chenye jina la kampuni hiyo baada ya kukabidhiwa zawadi na Kikundi cha Wanawake Wajane cha The Good News Social Welfare Organisation (GOSOWO), baada ya kukipatia msaada wa vyerehani vya thamani ya sh. milioni 4 pamoja na kuwagharamia sh. milioni 1.5 za mafunzo ya kudarizi na kutengeneza nguo za batiki. Kulia ni Ofisa Tarafa ya Ilala, Bw. Suleiman Mwenda
April 23, 2008
TBL NA WAJANE
Ofisa Tarafa ya Ilala, Bw. Suleiman Mwenda. akimkabidhi mmoja wa wanachama wa kikundi cha Wanawake Wajane cha The Good News Social Welfare Organisation (GOSOWO), Bibi Haruna Shamte cheti cha kuhitimu mafunzo ya kudarizi nguo pamoja na kutengeneza batiki yaliyogharamiwa hivi karibuni na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL). Wanaoshuhudia hafla hiyo iliyofanyika Vingunguti, Dar es Salaam jana, ambapo pia TBL iliwakabidhi msaada wa vyerehani vyenye thamani ya sh. milioni 4 ni Ofisa Uhusiano wa TBL, Bi. Dorris Malulu (wa pili kulia) na Mkurugenzi wa GOSOWO, Bw. Frank Mshahara.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
Gadhafi na Obama With reported pockets of fighting remaining in Tripoli on Wednesday, the whereabouts of Lib...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
Katuka mila nyingi za kiafrica ama kibantu ni utovu wa nidhamu kumwita mkubwa wako MWONGO ni kitendo cha dharau, nami nisingependa kabisa ku...
No comments:
Post a Comment