Kama kuna warembo ambao hawachuji ktk dunia ya urembo basi ni huyu dada Jacquiline au apendavyo K-lyinn, ni miaka yapata nane toka atwae umiss bongo lakini bado bomba kinoma, na azidi kuwika ktk muziki wa bongo na sasa anaweb site yake http://www.klyinn.com/ tembelea upate vituzi vyake zaidi.
Bravo
No comments:
Post a Comment