MGOMO WANUKIA TAZARA
Wafanyakazi wa TAZARA kupitia chama cha wafanyakazi wa reli leo wametangaza mgogoro na uongozi wakidai kulipwa mishahara yao kwa thamani ya dola ya marekani viwango vya miaka ya 90 ambayo ilikuwa 890 kwa Dola. kwa upande wa wenzao wa Zambia ahh kwa ni poa. mmmh jamani hivi sasa kwa walioughaibuni US$ 1 = TZS 1280, sasa hawa TAZARA dola kwa haipandi tu.
August 20, 2007
MGOMO WANUKIA TAZARA
Wafanyakazi wa TAZARA kupitia chama cha wafanyakazi wa reli leo wametangaza mgogoro na uongozi wakidai kulipwa mishahara yao kwa thamani ya dola ya marekani viwango vya miaka ya 90 ambayo ilikuwa 890 kwa Dola. kwa upande wa wenzao wa Zambia ahh kwa ni poa. mmmh jamani hivi sasa kwa walioughaibuni US$ 1 = TZS 1280, sasa hawa TAZARA dola kwa haipandi tu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Mwandishi wa kituo kimoja cha redio cha watoto wa mjini akiwa kazini wakati wa uzinduzi wa Kili Muzic Awards 2007
-
Wadau naomba radhi kwa kutowaletea au kupost picha mpya hasa za mshikaji "NYEPESI" akifanya vitu vyake mtaani au za madent UDSM kw...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...
-
ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa Biharamuro Magharibi, kwa tiketi ya Chama cha Tanzania Labour (TLP), Phares Kabuye amekufa katika ajali ya basi ...
-
Baada ya DCI na jeshi la polisi kwa ujumla kukiri kuwa vifaa walivyowekewa wabunge wa upinzani yaani Wilbrod Slaa na Dr Ali Tarib Ali kwam...
No comments:
Post a Comment