January 22, 2008
BODI RUUM..
Mambo ya kushangaa ni mengi sana bongo na hasa hapo PAITWAPO BOT uwezi amini kuwa pamoja na minara yote hii miwili na jengo la kati lakini bodi room ni kiduchu kiasi kupita mpaka msuguane migongo!!!
hivi hilo jengo lote ambalo naamini kuwa ni kubwa kuliko pengine jengo lolote bongo isipokuwa labda bunge ni la kazi gani hasa?
au hata wafagizi wana ofisi zilinganazo na flooor nzima?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
MALUIMBANO kuhusu waraka wa Kanisa Katoliki (RC) yanaendelea kuwa makali, baada ya waumini wa kanisa hilo kumuelezea mwanasiasa mkongwe nchi...
-
Gadhafi na Obama With reported pockets of fighting remaining in Tripoli on Wednesday, the whereabouts of Lib...
-
Maharamia wa KISOMALI JUZI ALMANUSURA WAPORE MELI KTK PWANI YA DAR. Somali pirates fail to seize ship off Tanzania KUALA LUMPUR, Malaysia...
-
Thank you. Thank you. Thank you so much. (Sustained cheers, applause.) Tonight, more than 200 years after a former colony w...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
Can You Make Money with FLP?—A Review of Forever Living Products Je ni kweli waweza ingiza kipato kwa kupitia biashara ya mtandao Forever? ...
3 comments:
hao ndo mafisadi, we ulitarajia nini waweke li bodi lumu likubwa la nini?
watanong'onezaneje ili watuchape maele yetu wadanganyika?
chambilecho mchungaji....
mshikaji hilo jumba ni chui wa karatasi, changa la macho tu mavioo tu lakini ndani soo,
njia za watu kula hizo kama wanabisha waseme we jengo toka 98 lajengwa tu.
Hii ndo bongo jamani,
hivi huyu mama na ako ka ps kweli wanangoja nini?
hinamaan dili hili lilikuwa la balaa hili pekee, mi siamini au kuna ndumba hapo? mhh jamaa naye kichwa kweli ka kachapa mwenyewe zigo hilo si mchezo.
ila radio mbao zasema jamaa aweza letwa sandukuni eti, mshazisikia hizo?
Post a Comment