February 17, 2010
CHONDE CHONDE WATANI, THIS IS TOO MUCH!!
Habari zilizorushwa toka jana na leo ktk vyombo mbalimbali vya habari kuhusu mauaji ya kutisha ya familia tatu za ukoo mmoja kwa kuchinjwa kama kuku huko Mara zinasikitisha sana.
Hivi mtu au watu na akili zao timamu wanawezaje kutenda unyama kama huo kuua watu 17 pamoja na watoto wanaonyonya katika nyumba tatu na tena bila kuonekana?
Hii inasikitisha sana, kwamba Tanzania sasa imefika mahali watu twauana kama au pengine kuliko hata wanyama?
Enyi watani zangu huko Mara ni nini kimewasibu? ni kisasi gani hicho cha kulipita kwa katoto kachanga kasicho jua chochote duniani humu? Malaika hawa na wazazi na ndugu zao wamewatenda kikubwa kipi kisichoweza kurekebishika mpaka kwa ukali wa upanga?
Huu ni unyama mkubwa kabisa wa enzi zetu ambao twazani tumustaharabika kidogo kuliko vizazi vilivyotangulia, lakini sasa nadhani baadhi yetu na hasa watani zangu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
Huwa nina kawaida au tabia ya kusoma kila kilichombele yangu kilichoandikwa, sijui kama kawaida/tabia hii ni mzuri au la kila mtu aweza sem...
No comments:
Post a Comment