July 26, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Ni nini Waziri Mkuu wa Zamani Cleopa D Msuya aweza kuwa akimweleza JK? ...............................................................?
-
Skandali ya BOT yazidi kuchemka.... NITOKE VIPI?????? BOT SAGA, MEGHJI AJIVUA.......... Meghji: I was duped by governor Ballali -Minist...
3 comments:
Ni kweli Saida Kaloli kapotea kweli. Imekuwa kama coincidence ni jana tu nasi hapa nyumbani tumekuwa tumejiuliza yupo wapi huyo dada?
ishangai kwa yeye kupotea kwani alijipoteza mwenyewe katika harakati za kujitafuta. Saida anajua kuwa alikuwa nyota na aligusa wengi wakati akishiriki katika muziki wa asili na ndipo kilipokuwa kipaji chake, lakini akaamua "kufuata upepo" na kujiingiza kwenye mitindo mingine ya miziki ambayo haikuwa katika upeo wa utunzi na ubunifu wake. Ameishia kujichimbia kaburi kisanii na inasikitisha.
Nimesema mara nyingi kuwa kuna haja ya wasanii kuwa walivyo na si kutaka kuwa vile ambavyo watu wengine wanataka wao wawe.
She payed the price and i hope it's a learning experience.
Jumapili njema Mukuru
Watoto wa town wanasema KAFULIA au CHOKA MBAYA,
Post a Comment