May 18, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Miaka 3 imetimia leo hii, mengi yamepita hapo lakini bado naona kama jana tu. Asante BWANA wa Majeshi kwa kutupigania kutulinda na hata ku...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa Biharamuro Magharibi, kwa tiketi ya Chama cha Tanzania Labour (TLP), Phares Kabuye amekufa katika ajali ya basi ...
-
Mwandishi wa kituo kimoja cha redio cha watoto wa mjini akiwa kazini wakati wa uzinduzi wa Kili Muzic Awards 2007
-
JAMANI MJAMAA ATAFUTA JIKO HUYU NA SIFA KAORODHESHA HAPO CHINI, JE NI KWELI SASA TUMEFIKA HATA KUJITANGAZA KTK VYOMBO VYA HABARI? AU NI UBI...
-
Mjumbe wa UVCCM Kilimanjaro, Paul Makonda asemaRostam kahamishia Familia yake nje ya nchi.
3 comments:
Duh Ebwanaeee ntapataje hako kamashine nikwaweke home??
nisaidie mdau.
KIUKWELI MIMI NINA TATIZO NA WATANZANIA KUYAONEA AIBU HAYA MAMBO, MAAN MTU ANAOGOPA HATA KWENDA KUNUNUA HIYO KONDOM, WAKATI WATU WOTE WANAJUA WEWE NI MTU MZIMA NA MAMBO HAYO UNAFANYA.
TUKIWA WAWAZI TUTAEPUKA SANA HUU UGONJWA, MAANA TATIZO LA AIBU YA KUNUNUA KONDOM TUMESHAIMALIZA, SASA TATIZO NI KUITOA HUKO CHUMBANI, SIJUI TUTAFUTE MASHINE ITAKAYOITOA NA KUVALISHA MAANA MTU AKISIKIA KONDOM ANAONA YEYE NDIO ANAONEKANA ANAFANYA SANA, WAKATI MAANA YAKE ANAJALI AFYA YAKE!
Kwa bahati mbaya hata kondomu za mgao wa bure watu huwa wanazikwepa.Sijui sasa hizi itakuwaje maana kama na unayecheza naye umemnunua na soda inabidi umnunulie kuna atakayeona anajizidishia gharama kutumia haka kamashine kasije kakabania koini mumo kwa mumo. Kwanza hako kataa ambako itabidi kawake wakati tunasubiria kabla hajutumbbukiza mia kanatumia umeme huhu wa TANESCO wakati limtu ninakusubiri uje na zana au nini?
Tusipobadilika kimawazo sina matumaini na mradi huu:-(
Post a Comment