February 19, 2009

Liyumba atoweka??????

Kuna taarifa kuwa Mtuhumiwa wa KESI YA Ujenzi tata wa minara miwili ya BOT A. Liyumba ametoroka na ajulikani alipo na kuwa wadhamini wake 2 wanashikiliwa na polisi kuhusiana na hilo.
Jana mawakili wanaomtetea Liyumba toka Amacus Attorneys Hudson Ndusyepo na Onesmo Kyauke (R) walithibitishia waandishi kuwa mteja wao alipewa dhamana licha ya kutotimiza masharti pamoja na kuwasilisha mahakamani hati ya kusafilia iliyopitwa muda wake(PASSPORT EXPIRED 2007).
Habari ndo hiyo wadau.

TUNGALI TUNAFUATILIA MAHAKAMANI KISUTU TUTAWAJULISHA TAARIFA KAMILI ZAIDI SI MUDA.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...