Hongera kwa shughuli ngumu unayoifanya ya kuelimisha, kuburudisha, kuhabarisha na kukutanisha jamii. Ningependa kukiri kazi yako ni muhimu kwa kuinufaisha Tanzania na dunia kwa ujumla. Ningependa kuokoa muda na kuchukua anafasi hii kuifahamisha jamii ya Tanzania kuwa sasa kupata kipato kwa njia pepe au tusema e-business/e-commerce si jambo gumu tena. Hisapepe.com imekuja kuibadili Tanzania, inalipa wanachama wake kwa kila wakifanyacho katika tovuti ama website hii. Nia kuu ni kuanza kujenga utamaduni biashara pepe (e-bussiness, ni vyema kuanzia hapa) Ni wakati sasa wa kufanya kazi mtandaoni! Ni wakati wa watanzania kushuhudia pesa ya shilingi kutoka mtandaoni na si zile njia tumekuwa tukizisikia ambazo haziwezekaniki…kitakwimu kumwambia mtu awe na zile kadi za malipo ya intaneti hapa kwetu bado ni tabu sana. JINSI YA KUSHIRIKI UWEZE KULIPWA bofya hapa kwa taarifa zaidi>>>>>
February 2, 2009
Hisapepe yazinduliwa
TOVUTI INAYOLIPA WANACHAMA WAKE YAZINDULIWA, JIONGEZEE KIPATO SASA!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
MALUIMBANO kuhusu waraka wa Kanisa Katoliki (RC) yanaendelea kuwa makali, baada ya waumini wa kanisa hilo kumuelezea mwanasiasa mkongwe nchi...
-
Can You Make Money with FLP?—A Review of Forever Living Products Je ni kweli waweza ingiza kipato kwa kupitia biashara ya mtandao Forever? ...
-
Edmark International founder, Chief Executive Officer and Chairman. Edmark Tanzania welcomes all entrepreneurs, business people a...
-
Gadhafi na Obama With reported pockets of fighting remaining in Tripoli on Wednesday, the whereabouts of Lib...
-
Maharamia wa KISOMALI JUZI ALMANUSURA WAPORE MELI KTK PWANI YA DAR. Somali pirates fail to seize ship off Tanzania KUALA LUMPUR, Malaysia...
-
Thank you. Thank you. Thank you so much. (Sustained cheers, applause.) Tonight, more than 200 years after a former colony w...
No comments:
Post a Comment