Hongera kwa shughuli ngumu unayoifanya ya kuelimisha, kuburudisha, kuhabarisha na kukutanisha jamii. Ningependa kukiri kazi yako ni muhimu kwa kuinufaisha Tanzania na dunia kwa ujumla. Ningependa kuokoa muda na kuchukua anafasi hii kuifahamisha jamii ya Tanzania kuwa sasa kupata kipato kwa njia pepe au tusema e-business/e-commerce si jambo gumu tena. Hisapepe.com imekuja kuibadili Tanzania, inalipa wanachama wake kwa kila wakifanyacho katika tovuti ama website hii. Nia kuu ni kuanza kujenga utamaduni biashara pepe (e-bussiness, ni vyema kuanzia hapa) Ni wakati sasa wa kufanya kazi mtandaoni! Ni wakati wa watanzania kushuhudia pesa ya shilingi kutoka mtandaoni na si zile njia tumekuwa tukizisikia ambazo haziwezekaniki…kitakwimu kumwambia mtu awe na zile kadi za malipo ya intaneti hapa kwetu bado ni tabu sana. JINSI YA KUSHIRIKI UWEZE KULIPWA bofya hapa kwa taarifa zaidi>>>>>
February 2, 2009
Hisapepe yazinduliwa
TOVUTI INAYOLIPA WANACHAMA WAKE YAZINDULIWA, JIONGEZEE KIPATO SASA!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...
-
Edmark International founder, Chief Executive Officer and Chairman. Edmark Tanzania welcomes all entrepreneurs, business people a...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Skandali ya BOT yazidi kuchemka.... NITOKE VIPI?????? BOT SAGA, MEGHJI AJIVUA.......... Meghji: I was duped by governor Ballali -Minist...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
"Nimerikuta maeneo ya Ubungo likielekea Posta, yasemekana yameletwa ka 200 hivi na mengine 1000 yako njiani kutatua shida ya usafiri na...
No comments:
Post a Comment