Hapa ni jijini Bongo, kijana katwumwa maji kwa matumizi ya nyumabani!! USALAMA? wauliza usalama? we watokea wapi? hapa ni bora liende tu.
Hili ndo Jiji la kwanza na la Biashara ambapo afisi zote muhimu ndipo zapatikana, pia ni makazi waheshimiwa wote wa nchi hii lakini maisha ndo ka hivyo, Je vijijini kukoje wadau? kama jijini maji yaweza kosekana kwa zaidi ya wiki tatu na bado twaona sawa au wahusika waona ok? je mikoani si ni kasheshe? Maji sasa yauzwa ndoo 1 shs 500 hadi 2,000!!!!! ndoo ya lita 20 tu je wangapi waweza kumudu maisha hayo? WADAU MNA MAONI GANI?
January 19, 2009
MAISHA YA WABONGO KTK KARNE YA 21
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
Tanzania denies it’s slowing down integration in East Africa. APA-Kampala (Uganda) Members of the East African Legislative Assembly from...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
Gadhafi na Obama With reported pockets of fighting remaining in Tripoli on Wednesday, the whereabouts of Lib...
-
The government of Uganda is planning to pay a compensation fee to the government of Tanzania for the help offered Uganda in the 1979 liber...
-
Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wakurugenzi watendaji wa mitandao ya simu za mikononi za Zain, Zantel na Tigo. kutoka kushoto ni bwana N...
No comments:
Post a Comment