Alidai kuwa mgodi huo ulinunuliwa na mwekezaji kwa Dola za Marekani milioni 20, lakini mwekezaji akauuza kwa Dola za Marekani milioni 348 huku serikali ya Tanzania ikiambulia patupu.Kuhusu mgodi wa Buhemba, alitaka uchunguzi wa ufanyike kwani mwekezaji aliyekuwa akiumiliki ameondoka katika mazingira yasiyojulikana tena bila ya kuwalipa wafanyakazi haki zao na kukiuka makubaliano mengi ya mkataba na baadaye kuuza kinyemela mgodi huo kwa kampuni ya Maremeta.
October 30, 2008
UKISTAAJABU YA MUSA.........................................
AMA KWELI UKISTAAJABU YA MUSA UTAONA YA FILAUNI,
Akitoa maoni yake kuhusu hoja hiyo, Zitto ambaye alikuwa mjumbe wa Kamati ya Rais, alisema anaunga mkono pendekezo hilo la Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini la kutaka ufanyike uchunguzi huo, akieleza kuwa uuzwaji wa Buhemba unatia shaka kwani umeikosesha serikali fedha nyingi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
Pet bird Xiao Nuo pecks at the flash while perched on the lens of a camera during an interview by local media with its owner in Kunm...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
A very rare opportunity. With Outstanding Entrepreneur, Great Visionary, Motivational Speaker, Founder, Chairman and CEO of Edmark Inte...
No comments:
Post a Comment