September 10, 2008
ULINZI KWA MAJAJI WASTAAFU VIPI?
Jaji Mstaafu Robert Kisanga akionyesha tundu ktk fensi ambalo wakola walitengeza ili kuingia kwa nia ya kuiba RAV 4 yake ambapo hata hivyo hawakufanikiwa kwa mzee wa watu alistuka na kuwakulupua.
hii ni mara ya pili kwa Mhe Jaji kuvamiwa mara ya kwanza ilikuwa kwenye miaka ya tisini jamaa walikuja na siaraha lakini pia hawakufamikiwa kwani walidhibitiwa na askari polisi aliokuwa akimlinda.
Majaji kwa kawaida uwa na ulinzi wa polisi wanapokuwa bado ofisini lakini mara baada ya kustaafu ni UTAJIJU au na Lwako, jee ni sawa?
fikilia umesweka fisadi miaka 30 ndani na baada ya siku kadhaa unastaafu, je itakuwaje? patakalika hapo maana mafisadi twajua jinsi walivyo na vijisent vya kumwaga je si atawapa jamaa wakumalize?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
A very rare opportunity. With Outstanding Entrepreneur, Great Visionary, Motivational Speaker, Founder, Chairman and CEO of Edmark Inte...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
Umati wa watu unaozidi kufurika huko Loliondo kwa dhumuni moja tu, kupata dawa ambayo inaaminika inatibu magonjwa sugu ama yaliyoshin...
-
WAPENDWA TWAIJUA NGUVU YA NENO NA UWEZA WAKE? JE TWAJUA KUWA ULIMI WAUMBA AU WABOMOA? The Power of a Word Proverbs 12:18 gives us some val...
No comments:
Post a Comment