August 21, 2008
TUTARAJIE NINI LEO TOKA KWA JK?
Wakati Mkuu wa Bongo Rais JK anatarajiwa kulihutubia bungemfupi ujao kwa mara ya pili toka kuingia madarakani yapata miaka mitatu iliyopita muda mengi yamekuwa yakiisiwa au kuzungumzwa kwamba uenda akayagusia katika hotuba yake hiyo muhimu kwa taifa letu.
mengi yametokea na mengi yanaendelea kutokea toka kulihutubia bunge hilo December mwaka 2005, nadhani si vyema nikarudia hapa kuorodhesha yote yaliyo jili hapa bongo kwa kipindi kifupi hicho lakini yakiwa ni makubwa na muhimu kwa mustakbali wa taifa letu hili changa.
tusubiri tusikie kile ambacho mkuu wa nchi ataka kuwaambia wanachi kupitia kwa wabunge wao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
A very rare opportunity. With Outstanding Entrepreneur, Great Visionary, Motivational Speaker, Founder, Chairman and CEO of Edmark Inte...
-
Huwa nina kawaida au tabia ya kusoma kila kilichombele yangu kilichoandikwa, sijui kama kawaida/tabia hii ni mzuri au la kila mtu aweza sem...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
No comments:
Post a Comment