MKUTANO WA NENO LA MUNGU NA MWALIMU CHRISTOPHER
MWAKASEGE KUTOKA TANZANIA:
READING UK 08-10 /08/ 2008.
Jumuiya ya wakristo katika Uingereza na Ulaya inawakaribisha katika mkutano wa neno la Mungu utakokuwa ukiendeshwa na mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege kutoka Tanzania.Mwlm Mwakasege ni Mchumi na Mwalimu wa neno la Mungu ambaye mafundisho yake hayana mlengo wa aina moja tu.
Njoo ufaidike katika maeneo yote ya maisha.MATARAJIOWenye shida za kiroho, nafsi, mwili mnakaribishwa mpate majibu ya maswali yenu.Mafundisho ya namna ya kujikomboa kiuchumi kwa mujibu wa neno la Mungu yatafundishwaNyimbo za Injili kutoka Mwanamziki wa Injili Fanuel Sedekia kutoka ArushaTimu ya Injili na uimbaji kutoka Norway inatarajiwa kuwepo.
Huu utakuwa wakati wa baraka sana jitahidi usikose nafasi hii ya pekee na Mungu atakubariki.ANWANI YA UKUMBIRivermead Complex Leisure Centre,Richfield Avenue, readingBerkshire, RG1 8EQMikutano itakuwa inaanza asubuhi saa nne paka saa moja jioni kwa siku zote tatu.
MAELEZO ZAIDI:
Wasiliana na /Reading Lillian 07846700927,
Birmingham-07776358464 Jackson Kapama,
London 07817479845 Elias Mwema,
Milton Keynes, 07787357618, Jane maneno,
-Brighton,07950324330 Joyce Jacob.
Southampton 07717435287 Sekela Komba07944632826./ Rev, Emmanuel Chatawe-Mwenyekiti07983615387 /
Timothy Kyara-
Katibu mkuu.
KARIBUNI WOTE.
July 5, 2008
MWL MWAKASEGE KUTOA SOMO UK
MKUTANO WA NENO LA MUNGU NA MWALIMU CHRISTOPHER
MWAKASEGE KUTOKA TANZANIA:
READING UK 08-10 /08/ 2008.
Jumuiya ya wakristo katika Uingereza na Ulaya inawakaribisha katika mkutano wa neno la Mungu utakokuwa ukiendeshwa na mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege kutoka Tanzania.Mwlm Mwakasege ni Mchumi na Mwalimu wa neno la Mungu ambaye mafundisho yake hayana mlengo wa aina moja tu.
Njoo ufaidike katika maeneo yote ya maisha.MATARAJIOWenye shida za kiroho, nafsi, mwili mnakaribishwa mpate majibu ya maswali yenu.Mafundisho ya namna ya kujikomboa kiuchumi kwa mujibu wa neno la Mungu yatafundishwaNyimbo za Injili kutoka Mwanamziki wa Injili Fanuel Sedekia kutoka ArushaTimu ya Injili na uimbaji kutoka Norway inatarajiwa kuwepo.
Huu utakuwa wakati wa baraka sana jitahidi usikose nafasi hii ya pekee na Mungu atakubariki.ANWANI YA UKUMBIRivermead Complex Leisure Centre,Richfield Avenue, readingBerkshire, RG1 8EQMikutano itakuwa inaanza asubuhi saa nne paka saa moja jioni kwa siku zote tatu.
MAELEZO ZAIDI:
Wasiliana na /Reading Lillian 07846700927,
Birmingham-07776358464 Jackson Kapama,
London 07817479845 Elias Mwema,
Milton Keynes, 07787357618, Jane maneno,
-Brighton,07950324330 Joyce Jacob.
Southampton 07717435287 Sekela Komba07944632826./ Rev, Emmanuel Chatawe-Mwenyekiti07983615387 /
Timothy Kyara-
Katibu mkuu.
KARIBUNI WOTE.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein, wakiangalia uandaaji wa huduma mbali...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
KASHFA YA RICHMOND YAPELEKEA Lowassa kujiuzuru, hii ina maana gani wapendwa? je na baraza zima limepigwa chini au niaje? Pichani juu ak...
-
Wiki moja tu baada ya serikali kutangaza kuanza kutoza ushuru kwa mashirika ya Dini wakti ikiwasilisha bajeti ya Mwaka 2009/10 Waziri Mkuu M...
-
MGOMO WANUKIA TAZARA Wafanyakazi wa TAZARA kupitia chama cha wafanyakazi wa reli leo wametangaza mgogoro na uongozi wakidai kulipwa mishahar...
-
Mgombea wa CCM Oscar Mukasa akipiga kura. Matokeo ya awali ya uchaguzi mdogo wa Biharamulo yanaonesha mchuano mkali sana kati ya CCM na CH...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
No comments:
Post a Comment