Mapato si haba ati!! mia sita M zote mhh''' ila ni nini kilitokea ktk mechi ya kwanza na waganda hata kupata 234m tu? na watu walikuwa karibia sawa na waliokuwa ktk mechi hii? au ni tishio la wadau wakiongozwa na wabunge wa dar kutaka kupata ufafanuzi mapati yale au ni vijana wa Hosea waliwakalia kooni hata kushindwa kupika mahesabu ya kiingilio? maswali ni mengi kwani hata tofauti ni kubwa mnooooooo jamani zaidi ya 400M si pesa ndogo hiyo ati..........tusubiri tu muda utasema.
September 13, 2007
Mapato si haba ati!! mia sita M zote mhh''' ila ni nini kilitokea ktk mechi ya kwanza na waganda hata kupata 234m tu? na watu walikuwa karibia sawa na waliokuwa ktk mechi hii? au ni tishio la wadau wakiongozwa na wabunge wa dar kutaka kupata ufafanuzi mapati yale au ni vijana wa Hosea waliwakalia kooni hata kushindwa kupika mahesabu ya kiingilio? maswali ni mengi kwani hata tofauti ni kubwa mnooooooo jamani zaidi ya 400M si pesa ndogo hiyo ati..........tusubiri tu muda utasema.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni-Kinondoni leo imeamua mazishi ya mwili wa Marehemu Paulo Goliama aliyefariki wiki iliyopita yafany...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
JAMANI MJAMAA ATAFUTA JIKO HUYU NA SIFA KAORODHESHA HAPO CHINI, JE NI KWELI SASA TUMEFIKA HATA KUJITANGAZA KTK VYOMBO VYA HABARI? AU NI UBI...
-
Mwandishi wa kituo kimoja cha redio cha watoto wa mjini akiwa kazini wakati wa uzinduzi wa Kili Muzic Awards 2007
-
Wadau naomba radhi kwa kutowaletea au kupost picha mpya hasa za mshikaji "NYEPESI" akifanya vitu vyake mtaani au za madent UDSM kw...
No comments:
Post a Comment