Pages

March 30, 2010

Mpendazoe wa CCM awa wa kwanza kutimkia CCJ

F Mpendazoe Mbunge wa Kishapu Fred Mpendazoe akitangaza kikiama rasmi CCM na kujiunga na CCJ ktk ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO leo hii, wengine ni Katibu Mwenezi CCJ Dickson Nghilily (L) na Afisa Habari wa MAELEZO Mwirabi Sisse.

No comments:

Post a Comment