Pages

March 30, 2010

Shule za Bongo ktk Karne ya 21,

Hii ni Shule ya Msingi Ilala iliyopo Iringa Mjini ni mita 400 tu toka Afisi ya ARASII, ina wanafunzi 685 wanaokaa chini ni 485,
Picha na Frank Leonald.

No comments:

Post a Comment