Pages

March 30, 2010

Hili lilishauzwa au bado latafutiwa mteja?

Basi hili liko katika moja ya yadi ya magari huko Ilala, Je kuna taarifa zozote kuhusu USAFIRI HUU wa wanajangwani? katika yadi hii limetunzwa au latafutiwa mteja?
Madega au Sendeu naomba mtujuze juu ya basi hili, twaomba taarifa zake tafwazaliiiii.

No comments:

Post a Comment