Pages

March 29, 2010

Mtoto wa Mkulima yuko Vietnam

Mtoto wa Mkulima akikadua Gwaride la heshima.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea maua kutoka kwa mtoto wa Vietnam wakati alipopokelewa rasmi kwenye viwanja vya Ikulu ya Hanoi , Machi 29, 2010 kuanza ziara yake ya kikazi nchini Vietnam. Kulia ni mwenyeji wake, Waziri Mkuu wa Vietnam, Nguyen Tan Dung.

No comments:

Post a Comment