April 21, 2008
KWA KINA BABA TUUUU!
Kina baba mmeipata hii? najua wengine leo au jana baada ya kusoma habari hii mmeanza kuwaangalia wanenu au mlioambiwa wanenu kwa macho mawilimawili,
hayo ndo mambo ya tekonologia ya kisasa au kipimo kinachoitwa DNA kinavyosema kwa ndoa zilizopimwa au walokuwa na mashaka na wenza wao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
WINNERS Boulevard.: Biashara ya Masoko ya Mtandao : Fikiria kama ungekuwa walipwa kwa kila ushauri wa kutumia huduma ama bidhaa ya kampuni a...
-
The Edmark Double Bonus Marketing Plan consists of both the Point Sharing System and the Block System. Thus, giving maximum benefits ...
-
Umati wa watu unaozidi kufurika huko Loliondo kwa dhumuni moja tu, kupata dawa ambayo inaaminika inatibu magonjwa sugu ama yaliyoshin...
-
Alert over Kenya's first case of H1N1 flu Minister for Public Health and Sanitation Beth Mugo addresses the media in Nairobi. Kenya...
-
Mshindi wa Kiti cha Urais Zambia, Michael Sata. Jubilation and dance characterised the streets of Lusaka , the country’s capital...
-
Porn image ban sparks concern A new law, slated to come into force in January, will make the possession of images deemed to be of an extre...
-
Bernard Madoff gets maximum 150 years in prison NEW YORK – Convicted swindler Bernard Madoff was sentenced to 150 years in prison Monda...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
August 13-16th, 2009 in Nairobi, Kenya. Kelele is an annual African bloggers’ conference held in a different African city each year and ru...
1 comment:
JAMANI HII STORY SI NZURI MNATAKA KUVUNJA NDOA ZA WATU SASA,
FIKIRIA ITAKUWAJE PALE BABA WA WATOTO WANNE AU SITA AMBAO ANADHANI NI WANAE KABISA NA HIVYO KUWAJIBIKA KISAWASAWA KWA MALEZI NA ELIMU TENE YA GHARAMA, JE ATAKAPO TIA SHAKA NA KWENDA NA KWENDA KUWAHAKIKISHA NA KUGUNDUA KUMBE NI KANYABOYA JE PATATOSHA HAPO KWELI?
NA HILI TULITARAJIE WAKATI WOWOTE KWANI AKA KASTORY MABABA KAMEWAGUSA KWELI,
HUENDA KINAMAMA WADANGANYIFU WAKAKAUNDIA TUME AKA KAMTAMBO NA KUKADISTROI KALINDWE NA FFU AKA NA MIBOMU YA KUTUNGULIA NDEGE VINGINEVYO TWAJAKAKOSA SASA HIVI.
Post a Comment