Pages

April 12, 2010

Rais na Msafara unapotekea kwa ghafla.- KINGA NI BORA ...

Waliondoka na furaha sana wakiwa na matumaini ya kurejea tena Poland, lakini haikuwa hivyo.
Rais wa Poland na Mkewe pamoja na msafara wake wote umeteketea katika ajari ya ndege iliyotokea mwishoni mwa wiki.
Rais Lech Kaczynski na Mkewe Maria pamoja na mkuu wa Majeshi, wabunge kadhaa pamoja na wanahistoria wote wameteketea ktk ajari hiyo, huu ni msiba mkubwa sana kwa taifa hilo.
Lakini je twajifunza nini kwa ajari hii? kuna somo lolote kwa viongozi wetu hapa??
Natumaini kuwa lipo jambo kubwa tu la kujifunza hapa, na kama lipo basi "Kinga ni bora kuliko tiba"

No comments:

Post a Comment