Pages

April 12, 2010

Kumbukumbu ya kifo cha SOKOINE leo

Leo ni miaka 26 toka Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Moringe Sokoine afariki kwa ajari ya gari huko Morogoro, kutakuwa na misa ya kumbukumbu ya kifo chake katika kanisa la Mt Joseph jijini leo jioni iliyoandaliwa na familia ya kiongozi huyo wa zamani mwenye kuheshimika sana nchini.
Nyote mnakaribishwa.

No comments:

Post a Comment