Pages

April 22, 2009

ZAIN NA KENGERE NYEUSI

Zain imezindua huduma ya Blackberry (Kengere Nyeusi) kwa wateja wake wa malipo kabla pia,
Pichani Kaimu Mkurugenzi wa Masoko Kelvin Twissa na Meneja Uhusiano Beatrice Malya Singano wakionesha aina hizo za simu zenye huduma zote za kisasa bila kukosa mtandao wa nguvu na zaidi waweza kuimiliki bure ikiwa unaweza kuwa walipia au watumia muda wa maongezi usiopungua TZS 35, 000/- tu.

No comments:

Post a Comment