Pages

October 13, 2008

UCHAGUZI TARIME

Msimamizi wa Uchaguzi Trasias Kagenzi alikuwa na kzi ya ziada kutuliza wapiga kura baada ya baadhi ya vituo kuwa na kasoro mbalimbali kama kutofuhuliwa hata baadhi yake kulazimisha kuvuja mlango.
Joseph Marwa mmoja wa walemavu waliojitokeza kutumia haki yao ya kikatiba kuchagua viongozi wao. Wacha twende tukamwite Kamanda Tossi
Uchaguzi kwa sehemu kubwa ulikuwa wa amani sana kinyume cha matarajio ya baadhi ya watu.

No comments:

Post a Comment