Pages

October 7, 2008

Mtoto wa Mkulima ziarani Namibia

"Mtoto wa Mkulima" akikaribishwa na mwenyeji wake, Waziri Mkuu wa Nambia, Nahas Angula na vikundi mbalimbali vya ngoma mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kotako nchini Namibia kwa ziara ya kikazi

No comments:

Post a Comment