Pages

September 30, 2008

NEC YASIKITISHWA TARIME

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imesikitishwa na kufadhaishwa sana sana na taarifa za kuwepo kwa matukio yanayoashiria vurugu na uvunjaji wa amani ktk kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge ktk jimbo la Tarime utakaofanyika Tarehe 12 Oktoba 2008

No comments:

Post a Comment