Pages

September 18, 2008

Karume amkaribsha mwakilishi mpya wa UNFPA

Rais wa Zanzibar Dk. Amani Abeid Karume akiwa katika mazungumzo na Mwakilishi Mpya wa Shirika la Umoja wa Matifa Linaloshughulika na Idadi ya Watu (UNFPA) Dk. Julitta Onabanjo wakatui mwakilishi huyo alipokwenda kujitambulisha Ikulu Zanzibar.

No comments:

Post a Comment