Wanasema picha yaongea maneno elfu moja, lakini kwa Picha hii nazani yaongea maneno milion au zaidi yaani kuliko ambavyo mtu angeweza kueleza, yasikitisha sana kwamba katikati ya tambo na mbwembwe nyingi za wanasiasa wetu, katikati ya RICHMOND NA EPA, katikati ya VIJISENT na MINALA YA BOT, pana wabongo kama hawa lukuki ambao wanaogelea ktk lindi la umasikini na maradhi,
YAWEZEKA MTOTO HUYU AMBAYE YAONESHA YU CHEKECHEA ANAJUKUMU LA KUMTUNZA NA KUMWANGALIA MAMA YAKE AMBAYE YU HOI KITANDANI, SIJUI HATA SENT YA KULA WAPI ANAIPATA MTOTO HUYU, HUKU NI KUZEEKA UNGALI MTOTO.
Asante mdau Yahya Charahani kwa picha hii. naomba utupe fulu diteili na anwani za familia hii kuna wadau wameonyesha nia ya kuisaidia.
July 16, 2008
PICHA INA MWANGWI MKUBWA !!
Wanasema picha yaongea maneno elfu moja, lakini kwa Picha hii nazani yaongea maneno milion au zaidi yaani kuliko ambavyo mtu angeweza kueleza, yasikitisha sana kwamba katikati ya tambo na mbwembwe nyingi za wanasiasa wetu, katikati ya RICHMOND NA EPA, katikati ya VIJISENT na MINALA YA BOT, pana wabongo kama hawa lukuki ambao wanaogelea ktk lindi la umasikini na maradhi,
YAWEZEKA MTOTO HUYU AMBAYE YAONESHA YU CHEKECHEA ANAJUKUMU LA KUMTUNZA NA KUMWANGALIA MAMA YAKE AMBAYE YU HOI KITANDANI, SIJUI HATA SENT YA KULA WAPI ANAIPATA MTOTO HUYU, HUKU NI KUZEEKA UNGALI MTOTO.
Asante mdau Yahya Charahani kwa picha hii. naomba utupe fulu diteili na anwani za familia hii kuna wadau wameonyesha nia ya kuisaidia.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
DEFINITION Colon cancer is cancer of the large intestine (colon), the lower part of your digestive system. Rectal cancer is cancer...
-
WINNERS Boulevard.: Biashara ya Masoko ya Mtandao : Fikiria kama ungekuwa walipwa kwa kila ushauri wa kutumia huduma ama bidhaa ya kampuni a...
-
Want to know the secret how to become successful in Edmark business? This is the opportunity, come and hear the testimony from Tanza...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Forever Multi Maca Maca, also known as Lepidium Meyenii, is an annual plant that is cultivated in the Peruvian central highla...
-
Here are the TEN important things every Tanzanian should know about prostate cancer: About 1,250 Tanzanian men will probably ...
-
From Tanzania all the way to South Africa, Norway, Netherlands, Oman, USA and the world people are following Bongo Pix, this is the joy of b...
-
An American preaching couple ( Reverend Mr & Mrs Stumbles) held a crusade in Kiambu where Njoroge, their Kiswahili translator, did a rea...

No comments:
Post a Comment