Pages

April 21, 2008

Buriani Braza Dito

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Ukiwaona Ramadhani Ditopile au Braza Dito anatarajiwa kuzikwa leo mchana huko Kinyerezi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, Marehemu Dito alifariki saa 2:30 asubui jana ktk hoteli ya Hilux mji kasoro bahari alikofikia na mke mdogo.

No comments:

Post a Comment