Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Ukiwaona Ramadhani Ditopile au Braza Dito anatarajiwa kuzikwa leo mchana huko Kinyerezi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, Marehemu Dito alifariki saa 2:30 asubui jana ktk hoteli ya Hilux mji kasoro bahari alikofikia na mke mdogo.
No comments:
Post a Comment