DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT’S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Mawaziri na Naibu Mawaziri waliotangazwa leo Jumanne (12/02/2008) wataapishwa kesho saa 7.30 mchana katika viwanja vya Ikulu Ndogo ya Chamwino, Dodoma.
Wageni wote waalikwa wanatakiwa kuwa wamekaa kwenye viti vyao saa 6.30 mchana.
Kurugenzi ya Mawasiliano
Ikulu,
Chamwino, Dodoma.
12/02/2008
No comments:
Post a Comment