Pages
▼
Igunga UPDATES: Marehemu wafufuka kupiga kura!
Kwa mujibu wa ITV Igunga Live,
- kuna wafu wamefufuka na kwenda kupiga kura leo hii,
- Watu kadhaa hawaoni majina yao vituoni
- Wapo waliopiga kura mwaka jana leo hii kadi na majina haviendani.
- Kuna baadhi vituo vifaa havijafika,
- Sehemu nyingine vimepelekwa kwa baiskeli na punda kutokana na ubovu wa miundombinu.
- Vijana wamejitokeza kwa wingi kuliko mwaka jana,
- Hari ni shwari mpaka sasa.
No comments:
Post a Comment