Pages

October 2, 2011

Igunga UPDATES: Marehemu wafufuka kupiga kura!

Kwa mujibu wa ITV Igunga Live, 

  • kuna wafu wamefufuka na kwenda kupiga kura leo hii,
  • Watu kadhaa hawaoni majina yao vituoni
  • Wapo waliopiga kura mwaka jana leo hii kadi na majina haviendani. 
  • Kuna baadhi vituo vifaa havijafika, 
  • Sehemu nyingine vimepelekwa kwa baiskeli na punda kutokana na ubovu wa miundombinu. 
  • Vijana wamejitokeza kwa wingi kuliko mwaka jana,
  • Hari ni shwari mpaka sasa.


No comments:

Post a Comment