Pages

March 25, 2010

Breaking Newzzzzzzzzzzzzzzz

Abiri wote waliokuwa katika Hiace no T 195 AJW kutoka Dar kwenda Mlandizi wanahofiwa kufariki papo hapo baada ya gari hiyo walilokuwa wanasafiria kupata ajari na kukandamizwa na lori la mafuta eneo la Kibamba alfajiri leo hii.
Habari zaidi tutawaletea

No comments:

Post a Comment