Pages

December 30, 2009

Salam toka Kilosa

Mwezi wa nane TMA walitabiri kuwa kutakuwa na mvua za El nino mwezi unaofuatia, hazikunyesha, nadhani pengine ndo hizi, nasema pengine kwa sababu utabiri ule ulikuwa wa mwezi September nafikiri labda ndo umeendelea hata leo. nini kinafuatia??

No comments:

Post a Comment