Wanakijiji wanapolazimika kuomba DK 10 za Mtoto wa Mkulima
Wananchi wa Kijiji chaMkunya wilayani Newalawakiwa wamebeba bango kubwa linalomuamba Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliyekuwa anapita kijijini kwa akilekea kwenyekituo cha maji cha Mkunya kusimama na kuwasikiliza.
KWANINI MNAPENDA KUMPAMBA PINDA KUWA NI MTOTO WA MKULIMA? NI KIONGOZI GANI KATIKA MAWAZIRI WAKUU AMBAYE ALIKUWA MTOTO WA MFANYABIASHARA MASHUHURI, MBONA WAANDISHI WA HABARI MNAPENDA KUWA NA UANDISHI WA KUJIKOMBA! VIONGOZI WETU WOTE WALITOKA KWENYE FAMILIA ZA WAKULIMA HATA HIVYO BABA YAKE PINDA NI MTUMISHI MSTAAFU.
Ni kweli sote au viongozi wote wawezekana ni watoto wa wakulima ama vinginevyo, lakini ni nani aliwai kutamka hadharani? sana wengine wapenda waitwe "wahishiwa" no waheshimiwa na wengine watukutu I mean watukufu, je hatunao hao?
likini sisi hatumpambi au si jukumu la Bongo Pix kupamba awaye yote, bali jina hilo lina maana na chanzo chake, ka umesahau au pengine ukuwepo wakti lilipoanza basi nina uhakika wadau watakukumbusha, naomba mdau yeyote anayekumbuka atusaidie.
KWANINI MNAPENDA KUMPAMBA PINDA KUWA NI MTOTO WA MKULIMA? NI KIONGOZI GANI KATIKA MAWAZIRI WAKUU AMBAYE ALIKUWA MTOTO WA MFANYABIASHARA MASHUHURI, MBONA WAANDISHI WA HABARI MNAPENDA KUWA NA UANDISHI WA KUJIKOMBA! VIONGOZI WETU WOTE WALITOKA KWENYE FAMILIA ZA WAKULIMA HATA HIVYO BABA YAKE PINDA NI MTUMISHI MSTAAFU.
ReplyDeleteNdugu yangu hapo juu, nashukuru kwa mchango wako,
ReplyDeleteNi kweli sote au viongozi wote wawezekana ni watoto wa wakulima ama vinginevyo, lakini ni nani aliwai kutamka hadharani? sana wengine wapenda waitwe "wahishiwa" no waheshimiwa na wengine watukutu I mean watukufu, je hatunao hao?
likini sisi hatumpambi au si jukumu la Bongo Pix kupamba awaye yote, bali jina hilo lina maana na chanzo chake, ka umesahau au pengine ukuwepo wakti lilipoanza basi nina uhakika wadau watakukumbusha, naomba mdau yeyote anayekumbuka atusaidie.
Bongo Pix