Pages

November 30, 2009

Je kuna mdau yeyote aweza kumbuka lilikuwa wapi hili?

Hili ni tangazo katika mlango wa chumba cha mkutano katika moja ya ofisi nyeti hapa Jijini Dar enzi hizo simu zote za mkononi zilikuwa zaitwa mobitel,
swali la kizushi, Je kuna awezaye kutueleza lilikuwa ofisi gani?
Mshindi atapata zawadi nono na kumaliza mwaka huu meno nje.

No comments:

Post a Comment