Pages

October 7, 2009

.........Prof Mukandala awatwangia

Mukandala ataka wabunge wasilipwe.
Makamu mkuu wa UDSM amenukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari wakati akitoa mada katika mkutano wa hali ya siasa unaoandaliwa na REDET huko milmani akitaka Wabunge na wanasiasa wengine kutolipwa, akisema kuwa hiyo ni kazi ya kujitolea

No comments:

Post a Comment