Bwana Harusi Emmanuel Makene Tamila na Bi Harusi Sarah Mgaya wakipozi mara baadaya kufunga pingu za maisha Jumamosi iliyopita. Tamila ni Mwanasheria Kitaaluma na Mmiliki wa Kampuni ya Sheria ya Kings Law Chembers na Pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kinondoni, mwenyeji wa Mwanza na Bi Harusi Sara ni Mwanafunzi wa Udaktari wa Madawa katika Chuo Kikuu cha Hubert Kairuki na mwenyeji wa Ludewa Iringa.
No comments:
Post a Comment