Manji amefungua kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kupitia kwa kampuni ya uwakili ya Muganda, Kamugisha na Bwana, akiomba alipwe kiasi hicho cha fedha au kiasi kingine ambacho kitatamkwa na mahakama kutokana na kumwita fisadi papa.
No comments:
Post a Comment