
Wafanyakazi wa Benki ya Makabwela ya NMB yenye matawi zaidi ya 120 na tegemeo pekee kwa wafanyakazi serikalini hasa walimu na wanajeshi, leo hii wameanza mgomo ambao wanasema utachukua siku kadhaa hadi pale uongozi utakapokubali kusaini mkataba wa hiyari nao.
No comments:
Post a Comment