Pages

September 27, 2008

Mpiganaji Athuman kuondoka kesho

Mpiganaji Majeruhi Pascal Mayala na my wife wake wakimjulia hali Majeruhi Athuman Hamis ambaye halitarajiwa kuwa angeondoka mwanzoni mwa wiki hii kwenda SA kutibuwa lakini hadi sasa bado angalipo MOI, Athumani uenda akaondoka kesho kwenda bondeni kwa matibabu zaidi hii ni ikiwa mambo yote yatakuwa yamekamilika pale wizara ya afya na ubalozini bondeni,

No comments:

Post a Comment