Pages

June 21, 2008

MAAFA ZAIDI DAR

Moja ya majeruhi wa ajari ya jengo hilo akiwaishwa hospitali, yasemekana bado kuna watu kadhaa wamefukiwa chini ya jengo kwani wengine walikuwa wakisika wakiita kuomba msaada. HILI NI JENGO LA TATU KUANGUKA NA KULETA MAAFA JIJINI, KA KUMBUKUMBU ZANGU SI SAHIHI, LA KWANZA NI LILE LA MTAA WA MSIMBAZI, LA PILI CHANGOMBE VILLAGE HOTEL NA HILI.
Posted by Picasa

No comments:

Post a Comment