Pages

May 13, 2008

JK ELEVEN KIDEDEA!!

Mechi ya marudiano kati Tanzania na Uganda inachezwa mjini Kampala hadi mapumziko matokeo yalikuwa 1-1 hii inawapa nafasi ya kusonga mbele Vijana wa JK Boys ukizingatia matokeo ya mechi ya awali waliwachapa 2-0 mjini Dar. MPIRA UMEKWISHA NA MATOKEO NI 1-1 AGGREGATE 3-1 STARS YASONGA MBELE.

No comments:

Post a Comment