Pages

April 25, 2008

TABATA DAMPO-Mshiko WAKARIBIA

Wakazi wa Tabata Dampo waliovunjiwa nyumba zao kinyume cha sheria na kinyama watalipwa mshiko wao hivi karibuni baada ya zoezi la kutambua wamiliki halali wa nyumba na wenye leseni za makazi kufanyika leo hii.

No comments:

Post a Comment