Pages

April 3, 2008

Sakata la kugombea maiti, Waislamu kukata rufaa

Baadhi ya viongozi wa kiislamu waliokuwa hapo ambao mwanzo hawakujali kupigwa picha lakini wakageuka baada ya ukumu hii wamesema wanadhamilia kukata rufaa dhidi ya hukumu na ikibidi kuufukua mwili wa Marehemu Goliama.

No comments:

Post a Comment