Abiria wakiwasili ktk jiji la Mwanza au Rock city.
Captain Kalero Mkandawile na First Officer Owen Mshiu wakiwa tayari kuluka ktk Boeing 737-300
Kampuni ya Precision air leo imezindua ndege yake mpya ya Boeing 737-300 yenye uwezo wa kuchukua abiria 116, hii ni ndege ya kwanza kubwa na yenye uwezo wa kuchukua abiria wengi kwa kampuni hii
No comments:
Post a Comment