Baadhi ya askari na maafisa wa jeshi waliokuwa wakishiriki katika oparesheni ya kumuondoa muasi wa kisiwa cha Anjouani Kanali Mohamed Bacar wakipita mbele ya mgeni Rasmi Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga taifa, Dk Hussein Mwinyi (hayupo pichani) wakati ya mapokezi ya askari hao jana jijini Dar es Salaam.
Wonderful photographs though I couldn't read text. Hope you are doing perfectly well. Keep it up.
ReplyDelete