Pages

April 13, 2008

Je lipo tumaini?

Pengine mwenge huu waweza leta tumaini kwa dada yetu huyu anayeishi kwa matumaini. kumbuka ni Tanzania pekee ktk Africa mwenge huu umekimbizwa lakini pia watu wanaoishi kwa matumaini hawakutengwa ktk kuukimbiza. ni jambo la faraja.

No comments:

Post a Comment