Pages

March 4, 2008

MAUAJI DEREVA WA WAZIRI

Polisi wawili ni miongoni mwa watuhumiwa wa mauaji ya aliyekuwa dereva wa naibu waziri wa iliyokuwa wizara ya usalama wa raia na usalama wamefikishwa leo mahakama ya kisutu na kusomewa mashitaka.

No comments:

Post a Comment