Pages

February 19, 2008

Bye bye the BUSHES

JK anakilasababu ya kuyarudi mangoma kwani kuwa na ugeni mkubwa kama huu na ukaondoka salama salimini si mchezo. kavarege nayo haikuwa haba mapaparazi wa kibingo tulienda sambamba na wa majuu, ni kweli tunazidiwa kidogo na wenzetu hasa kwenye mambo ya mtandao kwa kweli twaitaji kujiimarisha au kuimarishwa eneo hilo zaida pamoja na vifaa bora zaidi ya tulivyonavyo.

No comments:

Post a Comment